mefichukaa..Kumbe Mwalimu Nyerere Alikuwa Hajui Kuendesha Gari...!!!
Kama mpenz! wa magrup ya WhatsApp ya k!kubwa b0nyeza hap0 ch!n! kuweka namba yak0 nkuunge
KITABU chetu cha leo ni “Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere,” kimeandikwa na
Peter D. Bwimbo na kuchapishwa na kampuni ya Mkuki na Nyota. Kina
nambari ISBN 9789987-753-32-1. Peter D. Bwimbo alikuwa afisa usalama wa
taifa hivyo kuwa mlinzi mkuu wa Mwalimu Nyerere lilikuwa suala la
utaratibu.
Mwandishi anatuachia kumbukumbu kuhusu maisha ya Mwalimu Nyerere na
masuala ya ulinzi na usalama pamoja na maisha ya nyakati za ukoloni na
baada serikali mpya ya Tanganyika (Tanzania) changamoto, mafunzo na
maasi ya kijeshi ya mwaka 1964.
Kitabu hiki kinaeleza maisha ya makachero ama vyombo vya dola
vinavyofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha viongozi wetu wanaishi kwa
amani na utulivu. Pamoja na changamoto za kuwalinda wananchi nchini
kuanzia Special Branch (Idara ya Usalama wa Taifa kabla ya ukoloni)
ambayo baadaye ilibadilishwa na kuitwa TISS (Tanzania Intelligence and
Security Service).
Matukio muhimu yanayotajwa ndani ya kitabu hiki, “Kwa hiyo kazi ya
kuwaelemisha wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara kuhusu masuala ya
siasa na faida ya kujitawala ilikuwa ngumu sana iliyohitaji Mwalimu
Nyerere na wenzake kujitolea kusafiri kwa shida umbali mrefu na kwa njia
mbaya vijijini na mijini wakati mwingine kwa miguu kuwafikia wananchi
mahali walipo. Aidha, wananchi nao wakati mwingine waliogopa kuhudhuria
mikutano hiyo kwa hofu ya uwezekano wa kukamatwa na vyombo vya serikali
ya kikoloni hata kama mikutano hiyo kwa bahati ilipewa vibali,” (Uk. Uk.
24)
.
.
Mwandishi anasema kulikuwa na nyakati ngumu za kupigania uhuru na baada
ya wakoloni kuondoka. Baadhi ya maofisa wa kizungu walichukizwa na
kupatikana kwa uhuru wakaamua kutotoa mafunzo yoyote.
“Maofisa Wazungu katika Special Branch (Idara ya Usalama) kabla
hawajarudi kwao kufuatia program ya Africanisation (neno hilo lilitumiwa
hivyo hivyo katika Kiswahili kuwa frikanaizesheni), hawakutayarisha
mwongozo wowote ingawa kitengo hiki walikianzisha wenyewe. Kwa hiyo,
wakati nakabidhiwa kushika madaraka haya nilielezwa tu na Tim Hardy
kwamba nitaongoza kitengo hiki cha ulinzi wa waziri mkuu Julius Nyerere
kuanzia mwezi Agostia 1961,”(Utangulizi uk.XI).
Aidha, “Tanganyika ilipata serikali ya madaraka ya ndani tarehe 3
Septemba 1960, wakati huo mimi bado nikiwa masomoni Uingereza. Baada ya
TANU kushinda katika uchaguzi na kupata idadi kubwa ya wajumbe katika
Barazala la Kutunga Sheria (Legco) Mwalimu aliteuliwa na Gavana kushika
wadhifa wa waziri mkuu (Chief Minister) Special Branch wakati huo
ilikuwa chini ya Jeshi la Polisi,” (Uk. 29)
Hii ina maana kuwa kabla ya Uhuru kamili, Tanganyika ilianza kwa kupewa
serikali ya madaraka ya ndani (Internal self Government). Kwenye suala
la kuwalinda viongozi, anasema “Ulinzi wa Mwalimu Nyerere kwa ujumla
haukuwa rahisi, ikilinganishwa na ulinzi wa viongozi wengine, kwa sababu
alijiamini kuhusu maisha yake ya kisiasa kiasi cha kutokuwa na
wasiwasi,” (Uk.33).
Nyerere alikataa sanamu yake kuweka katikati ya jiji. “Mara baada ya
uhuru, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wakati huo walitaka sanamu
yake itengenezwe ichukue nafasi ya ile ya asakri wa vita mwenye bunduki
na singe katika maungano ya Mtaa wa Samora, Azikiwe na Makunganya,
alikataa kata kata kwa maelezo kuwa sanamu kama hizo hazifai katika nchi
zinazozingatia demokrasia na kuongozwa kwa utaratibu wa kupokezana
madaraka muda unapokwisha,” (Uk.39).
Mnamo Januari 22, 1962, Mwalimu Nyerere alipotangaza kujiuzulu wadhifa
wake wa uwaziri mkuu kwa madai hakuwa akisikilizwa na serikali ya
wakoloni. Baada ya kujiuzulu, alimteua Rashid Kawawa kuwa Waziri Mkuu
(Uk.45).
Kuhusu maisha binafsi, kwa mfano, kabla ya uhuru palikuwa na Mwafrika
mmoja tu nchini Tanganyika aliyekuwa na Digrii ya Masters aliyoipata
mwaka 1952, miaka tisa kabla ya uhuru. Kulikuwa na madaktari Waafrika 12
pamoja na wahandisi Waafrika wawili wakati ambapo idadi ya watu wote
nchini Tanganyika wakati huo ilikadiriwa kuwa milioni nne. Idadi hii ya
wasomi nchini Tanganyika wakati huo alitajwa na Mwalimu Nyerere jijini
Brasilia, Brazil tarehe 18 septemba 1996 katika hotuba yake aliyotoa
kuhusu hali ya Afrika katika kipindi cha kuelekea karne ya 21. Mtu pekee
Tanganyika aliyekuwa na digrii ya masters alikuwa yeye Mwalimu Nyerere
lakini kwakuwa hakuwa mtu wa majivuno hilo hakulitaja,” (Uk.55).
Linalovuta hisia zangu ni hili, “Yeye mwenyewe Mwalimu Nyerere ameongoza
nchi hii kwa muda mrefu lakini kadri ninavyofahamu, hakuweza kumiliki
hata gari moja hadi anang’atuka kutoka ngazi ya urais wala hakujifunza
kuendesha gari, bali alijua kuendesha Baiskeli,” (Uk.60).
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues.
Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.
During its two year run, the project will award approximately 100 major reporting grants and provide mentoring to support the best ideas for stories on development issues. Journalists who produce the best stories published or broadcasted in media that reach African audiences, will win a major international reporting trip.[1.00 MB] B0FYA HAPA CHIN1 U0NE JINSI MB00 INAVYOING1ZWA KWENYE KUMMA BILA KUMVUA DEMU CHUPI1 NA IKAINGIA YOTE▼▼▼
[1.00 MB] B0FYA HAPA CHIN1 U0NE JINSI MB00 INAVYOING1ZWA KWENYE KUMMA BILA KUMVUA DEMU CHUPI1 NA IKAINGIA YOTE▼▼▼
0 comments: